Mkufunzi mkuu wa klabu ya AFC Leorpads Patrick Aussems amedhihirisha kuwa anataka

kuimarisha zaidi mabeki wake huku mwenzake wa Ulinzi Stars akionyesha matumaini

makubwa kwa kikosi chake.

Na tuvuke mipaka tuelekee ughaibuni ambapo Thomas Tuchel amepigwa kalamu baada ya  kikosi chake kucharazwa na Dinamo Zagreb katika mechi ya kusaka ubingwa barani ulaya.

na usiku wa leo mechi kadhaa zimeratibiwa kuchezwa katika kombe la Europa. man United watasakata dimba dhidi ya real sociedad ugani Old Trafford huku Arsenal

wakichuana na Fc Zurich…..

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here